Featured

    Featured Posts

DIAMOND NDANI YA LAGOS NCHINI NIGERIA, AKAGUA JUKWAA ATAKALOPAFOMU KESHO KWENYE TUZO ZA MWANASOKA BORA AFRIKA!

Mwanamuziki Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akilikagua jukwaa atakapopiga shoo hapo kesho kwenye zoezi la utoaji tuzo za Mchezaji Bora wa Afrika katika Jiji la Lagos nchini Nigeria. 
Diamond ameandika hivi;
A pre Rehearsal for the Glo-CAf Awards....Ndugu zangu kijana wenu niko hapa salama kabisa, na leo nlianza hatua za Mwanzo za Kulikagua Jukwaa.....kauli yetu mbiu ni moja tu "Afe Dancer afe Msanii, lakini Shangwe Lazima..!"
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana