Featured

    Featured Posts

ANGALIA PICHA BASI LAGONGA TRENI NA KUUA IFAKARA WATU 12

 

Basi la Super Aljabir baada ya ajali.
watu 12 wamepoteza maisha huku wengine wakijeruhiwa baada ya Basi la Super Aljabir linalofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Mahenge mkoani Morogoro kugongana na treni maeneo ya Kiberege karibu na Ifakara, Morogoro jioni hii.Ajali hiyo imetokea wakati basi hilo likijaribu kuwahi kuvuka reli kabla ya treni kupita.
Ads by AllCheapPriceAd Options
Baadhi ya miili katika ajali hiyo ikiwa eneo la tukio.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana