Featured

    Featured Posts

WAZIRI SITA AMSIMAMISHA MKURUGENZI MAMALAKA YA BANDARI


Waziri wa Uchukuzi, Samwel Sitta.
Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Bandarini aliyesimamishwa kazi Maden Kipande.
HABARI zilizotufikia muda huu zinasema Waziri wa Uchukuzi, Samwel Siita,  amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini,  Madeni Kipande,  kutokana na matumizi mabaya ya ofisi yaliyoisababishia  serikali hasara ya mabilioni ya shilingi.
Kusimamishwa kwa Kipande kunatokana na vyombo vya habari kufichua  ufisadi uliokuwa unafanywa na mkurugenzi huyo ikiwa ni pamoja na  kuwasimamisha  wafanyakazi kinyume na taratibu na sheria.
Kashfa nyingine inayomsakama Kipande ni kuruhusu watu waliosimamishwa kazi bandarini kwa zaidi ya miaka miwili kuendelea kupokea mishahara na marupurupu kama kawaida.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana