Featured

    Featured Posts

MATUKIO YALIYOJIRI SIKU YA WAPENDANAO MSASANI BEACH CLUB NA ESCAPE ONE

Baadhi ya Watangazaji na wafanyakazi wa EFM wakitambulishana siku ya Valentine Day ndani ya Ukumbi wa Msasani Beach Club.
Mmoja wa watangazaji wa EFM wakiongea na mashabiki waliokuwa wamefurika katika shoo hiyo.
Mtangazaji wa EFM Ssebo akiongoe jambo na mashabiki waliokuwa ndani ya ukumbi wa Msasani Beach Club.
Ssebo (kulia), akipokea moja ya bango kama zawadi ya madereva wa Bodaboda wa Kinondoni.
DJ Majey akisababisha burudani kwenye shoo ya Valentine Day iliyokuwa ikifanyika katika Ukumbi wa Msasani Beach Club Kawe.
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva the Boss akiimba katika shoo iliyofanyika ndani ya ukumbi wa Escape One Mikocheni jijini Dar, siku ya Valentine Day.
Waigizaji wa kipindi cha Mahusiano cha Clouds TV, Mwinjaku na Recho wakipozi ndani ya ukumbi wa Escape one siku ya Wapendanao.
Msanii Mataluma akisababisha burudani ndani ya Ukumbi wa Escape One.
Msanii wa Bongo Fleva Snura Mushi akiimba ndani ya ukumbi wa Msasani Beach Club , katika shoo ya Valentine Day.
Recho akitoa burudani ndani ya Ukumbi wa Msasani Beach Club Kawe jijini Dar es Salaam.
Msaga Sumu akitoa burudani ndani ya Ukumbi wa Msasani Beach Club Kawe siku ya wapendanao
Umati wa mashabiki wa burudani wakicheza ndani ya ukumbi wa Escape One.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana