Featured

    Featured Posts

NYUMBA 13 ZIMECHOMWA MOTO -SIMIYU



Zaidi ya nyumba 13 katika kitongoji cha Mwalukonge wilaya ya Busega Mkoani Simiyu zimechomwa moto na watu wasiojulikana na kusababisha baadhi ya wakazi kukimbia makazi yao kwa kuhofia usalama wao.

Polisi wameanzisha msako mkali kuwatafuta watu waliohusika na janga hilo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana