Featured

    Featured Posts

MAPOKEZI YA TIMU YA IVORY COAST BAADA YA KUCHUKUA AFCON 2015 YAFANA

Huu ni umati mkubwa wa wananchi wa  Ivory Coast Jijini Abidjan Baada Ya Kutwaa Ubingwa-AFCON 2015. Nina uhakika ikitokea Tanzania tukachukua ubingwa huu itakua ni zaidi ya hapa



Hii ni baada ya kutwaa ubingwa huu waliokua wakiutafuta kwa muda mrefu. Hii ni mara ya pili kwa Ivory Coast kutwaa taji hili.

 



Kwa upande wao Ghana imekua ni kilio. Imekua ni vigumu sana kwa Adre Ayew kuamini kilichotokea na kujikuta akimwaga machozi muda mwingi baada ya kukosa taji.

Ayew was inconsolable after AFCON 2015 defeat

Kwa mara ya mwisho Ghana kuchukua ubingwa wa  AFCON ni 1982. Mwaka 1992 Ghana walikutana fainali na Ivory Coast pia na walishindwa kuchukua ubingwa. Mwaka huu 2015 walidhamiria kulipa kisasi kwa Ivory Coast lakini imeshindikana. Abedi Ayew Pele, baba yake dede,alikua ni miongoni mwa waliounda kikosi cha Ghana mwaka 1992 kilichoshindwa kunyakua ubingwa mbele ya Ivory Coast.

View image on Twitter
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana