Featured

    Featured Posts

Kiwanda cha Magazeti chateketea kwa moto jijini Dar es Salaam


Matukio ya majanga ya moto kwa sasa yameendelea kusika kasi jijini Dar es salaam ambapo jana majira ya saa mbili usiku kiwanda kinachochapisha magazeti cha JAMANA PRINTERS GROUP kilichopo Barabara ya pugu kimeungua moto na kuteketeza nusu ya bidhaa za kiwanda hicho baada ya kikosi cha zima moto kufanikiwa kufika kwa wakati eneo la tukio na kuudhibiti moto huo.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana