Featured

    Featured Posts

THIERY HENRI ATUKANWA MASTUSI YA NGUONI HUKO TWITTER BAADA YA KUTANGAZA TUZO KWA KINYONGO..

Hii ilitokea hapo jana wakati wa sherehe hizo zilizo kuwa zikihitimishwa kwa kuchaguliwa kwa mwana soka wa mwaka 2014.Thiery Henry alikuwa ndiye mchezaji mwalikwa  aliye alikwa kutoa tuzo hiyo ya heshima hapo jana.Wachunguzi wa maswala ya mpira wana hisi labda alijisikia vibaya kwa yeye kama mchezaji bora kwa wakati wake hakupewa tuzo hiyo,au labda ni mshabiki wa Messi
soma baadhi ya matusi aliyotukanwa huko twitter
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana