Featured

    Featured Posts

MAUNO YA STARA THOMAS YAMCHANGANYA MZEE CHILO.....JIONEEE

MWANAMUZIKI Stara Thomas juzikati aliwaacha watu hoi kwa kicheko pale alipoamua kumkatikia mauno Mzee Chillo walipokuwa wakicheza muziki.
Mwanamuziki Stara Thomas akikata mauno mbele ya Mzee Chillo.
Tukio hilo lililonogesha shughuli lilijiri kwenye uzinduzi wa kitabu cha marehemu Steven Kanumba kilichopewa jina la The Great Follen Tree uliofanyika ndani ya Hoteli ya Landmark, Ubungo jijini Dar.
Ilikuwa hivi; wakati wa kucheza muziki, kila mmoja alimvutia karibu yule aliyemvutia ambapo Stara aliamua kujongea kwa Mzee Chillo kisha kuanza kucheza taratibu lakini kadiri mambo yalivyonoga, mwanamama huyo alionesha umahiri wake wa kukata mauno na kumuacha mwezake akiangua kicheko.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana