Featured

    Featured Posts

BREAKING NEWS: WAZEE CHADEMA WAMALIZA MGOGORO KATI YA DR SLAA NA CHAMA

Taarifa za awali zilizotifikia chumba chetu cha habari zinaarifu ya kuwa wazee wa CHADEMA wamekutana na kuzungumzo katibu wa chama Dr Wilbroad Slaa nyumbani kwake kuhusu sintofahamu iliyojitokeza ambapo huenda Dr Slaa atarejea kazini muda si mrefu kuendelea na majukumu yake ya kichama.
Picha na taarifa zaidi zitafuata kadri tutakavyozipata, endelea kufuatilia hapa hapa www.toleojipya.com.
Hapo juu ni picha ya Dr Slaa na wazee wa chama hicho!
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana