Featured

    Featured Posts

PICHAZ: LADY J DEE BAADA YA MATESO YA NDOA AJIPOOZA KIHIVI....

Lady J Dee baada ya kukimbia kwa mumewe Gadner G Habash kwa sababu za kunyanyasika kwenye ndoa. Ameamua kujisahaulisha shida hizo kwa kujinunulia zawadi ya vito vya dhahabu na kuonesha kujijali mwenyewe.Mwanadada huyo ambaye kwa sasa hana mpenzi amekua mpweke akijikuta anaishi na Mokonyo mtoto wa mdogo wake kama mtu anayemchangamsha na kumtoa upweke huo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana