Featured

    Featured Posts

Picha ya Wema Sepetu Aliyojibinua Tako Yaleta Vijimaneno, Wengi Wamtaka Aache Maisha ya Maigizo ..Soma Hapa


Udaku Special Kutoka Insta: Leo nimepitia ukurasa wa Malkia wa Insta nikakutana na Picha hiyo ya Wema Akiwa ameegemea gari aliyopewa kama zawadi na Martin Kadinda siku ya Birthday yake huku akiwa amekibinua cha chini ya mgogo ..Baadhi ya watu wamemsifia na wengine kujaribu kumshauri ..Soma Comments hapo chini kutoka ukurasa huo :

dicksonmgesy
Jaman tumpe chachu ya maendeleo sio kumsifia zari hana tako ila ana mali na hela mpaka anatamani kujiteka. Huku sifa kuwa na tako lisilo na kitu. Hayaaaaa

__dat__gal__
Sure @dicksonmgesy alf hcho kigali xx cha uyo wemaa maskin kawaidaaaa xnaaaa yani wema hana radhaaa hanaaa

dicksonmgesy
tangu awe mis mpaka leo ana nini? Angalia wenzake kama jokate hana jna kubwa ila ana mafanikio yeye anaishi maisha ya kuigiza yuko wap? Afike mahali ajitambue aache kufanya maonyesho sifa sio maendeleo tangu tuanze kumsifia tumeshawahi kumpa hata mia?

Samgal
aache maisha ya maigizo, tunataka kuona maendeleo sio skendoz

theysay0
@dicksonmgesy kila mtu na baraka zake na kwa wakati wake. How many people they hv bn trying and trying and reach their goals. Her time will come.

hashypapito
Nilisikia wakisema wema shapeless kumbe walimaanisha shapeclass daaaah nampendaga bureeee

wildsweetcandies
Haters don't really hate you @wemasepetu , they hate themselves; because you're a reflection of what they wish to be.

malkia_wa_insta
2 days ago
Si mpaka uwe nalo la kubinuaa likabinuaaa aloooooooooooo ������������wema namba ingne bhnaaa

Haya na wewe unampa Ushauri Gani kutoka na hiyo Picha?
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana