Featured

    Featured Posts

ANGALIA UNYAMA ALIOFANYIWA YULE MTOTO ALIBINO ALIYEIBWA

 
Mwili wa mtoto (Albino) Yohana Bahati aliyeporwa juzi Geita umekutwa umekatwa miguu na mikono na kufukiwa kwenye msitu wa Biharamulo.Mtoto 
Yohana S/O Bahati Mwenye Umri wa mwaka 1 aliyetekwa huko Chato,Geita akutwa amekatwa mikono na miguu ktk Pori la Biharamulo.Ukatili huu umezidi hata ule wa Shetani R.I.P Yohana 
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana