Featured

    Featured Posts

PICHA: AMBERROSE AMKATIKIA MIUNO YA NGUVU CHRIS BROWN!!


Ukiwaweka watu wawili maarufu kwenye chumba kimoja ambao hivi karibuni wametoka kuachana na wapenzi wao ndio unapoata kilichotokea kati ya Chris Brown na Amber Rose. 

Amber, Back Chyna wamekutana na Chris brown kwenye club maarufu huko holiwood na kujiachia usiku kucha, huku marafiki wa Chris wakiona kama ni drama nyingine inakuja kati ya Chris Brown na washkaji zake wawili Tyga na Wiz Khalifa. 



author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana