Featured

    Featured Posts

PICHA ZA JACK DUSTAN AKIOGA BAFUNI ZAVUJA!!!

Msanii wa filamu ambaye sasa amejichimbia Dubai akisaka maisha, Jacqueline Dustan amevujisha picha zinazomuonesha akioga bafuni huku akionekana yuko bwii, jambo ambalo ni kinyume na maadili. 
 
Msanii wa filamu bongo, Jacqueline Dustan akioga huku akinywa. 

Picha hizo zinamuonesha msanii huyo akiwa kwenye sinki lenye mapovu na nyingine zikimuonesha hadi sehemu zake muhimu. 

 
Hizi ni picha zikionyesha Jacqueline Dustan akioga kwa kujiachia.

Katika kutaka kupata sababu ya mwanadada huyo kuziachia picha hizo ambazo Ijumaa imezipata kutoka kwa rafiki yake wa karibu (jina tunalihifadhi) ikidaiwa kuwa aliyempiga ni bwana wake, mwandishi wetu alimtafuta kupitia simu yake ya kiganjani na alipopatikana alisema: Cha ajabu kipi hapo, nilikuwa naoga kwa raha zangu nikamuita mtu akanifotoa, tatizo liko wapi?”
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana