Featured

    Featured Posts

BAADA YA KUACHANA NA LADY JAYDEE GADNER G HABASH FULL BATA NA MREMBO MWINGINE

Lady Jaydee na Gadner G Habash hawajawahi kukiri hadharani kuwa ndoa yao imevunjika licha ya magazeti mengi ya udaku kuandika hivyo.

Kuna kila dalili kuwa yamemwayo ni kweli hasa baada ya mtangazaji huyo mkongwe kupost picha akiwa na mrembo aliyejifunga taulo kwenye bwawa la kuogelea.

Gadner ambaye kwa sasa anafanya kazi kwenye kituo cha redio cha EFM alipost picha hiyo bila kuandika chochote zaidi ya kuweka ‘emoji’ ya mkono unaopunga.
Inaonekana kuwa tayari Captain ameshaamua kusonga mbele!
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana