Featured

    Featured Posts

MWALIMU WENU NAWATOBOLEA SIRI KIDOGO YA DIAMOND NA ZARI.... HATIMAYE MTOTO WA KIGANDA ASEMA UKWELI...TAZAMA HAPO CHINI

Hii picha ni ya jana ijumaa ila haikueleweka kama walikuwa wametoka msikitini au ni mavazi ya swaggz ila ni katika mitoko yako ya weekend hii usije kushtuka utakapokutana na couple fulani ya ‘Ameizing’ ya TZ+UG, sababu Zari Tlale a.k.a The Boss Lady yupo ndani ya jiji la Dar au kama anavyopaita mrembo huyo D-City.  


 D-city1
Kupitia Instagram mrembo huyo wa Uganda ambaye makazi yake yako Afrika Kusini amepost picha kadhaa akiwa na mpenzi wake Diamond Platnumz kwenye Gari aina ya BMW
d-city3Licha ya sasa kuwa Diamond na Zari wanajulikana kuwa nai wapenzi lakini wanapoulizwa juu ya Uhusiano wao wamekuwa wakikanusha na kusisitiza kuwa wanaproject ya pamoja.Lakini safari hii amethibitisha mwenyewe kwa kauli yake baada ya kumuita Girlfriend wa dancer wa Diamond 'wifi'

zari d-city
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana