Featured

    Featured Posts

HAYA NDIO MAMBO ALIYOYAONGEA DR SLAA AKIWA LIVE STAR TV....AMPONDA MAGUFULI NA LOWASSA


Mtangazaji anatambulisha mada. Ni yule yule Kamonte aliyemhoji mara mbili zilizopita.

Dr. Slaa: Nitaendelea kupigia kelele mambo yanayohusu taifa langu

Dr. Slaa: Uchaguzi huu ni wa kipekee. Watanzania wanataka mabadiliko. Umma haujatafsiri maana ya mabadiliko

Dr. Slaa: Dhana ya mabadiliko haijaelewa vyema. Dhana hii si mpya. Ilisemwa hata na Hayati Mwalimu Nyerere

Dr. Slaa: Mabadiliko yana sura mbili. Yapo ya kutoka pazuri kwenda kubaya na ile ya kutoka kubaya kwenda kuzuri. Anatoa mfano wa Dikteta Benito Mussolin wa Italia

Dr. Slaa: Ninahisi tafsiri ya mabadiliko haijaeleweka. Hata wasomi hawaelewi. Kwa upande wa wenzetu wapinzani wanachukua mifano ya hata Marekani ambapo Obama alikuwa na sifa..

Dr. Slaa: Msingi wa mabadiliko ni kutoka ulipo kwenda mahali kwingine. Kwenda kuzuri. Kuna dhana ya mabadiliko na mapinduzi. Kuna kauli za kutishia kuingia barabarani

Dr. Slaa: Wapo wenye tamaa ya kwenda Ikulu. Hiyo si ambition ya uongozi. Ambition inaambatana na maandalizi

Dr. Slaa: Kumchagua Rais si suala dogo. Tutavumilia kwa miaka mitano

Dr. Slaa: Amani inapaswa kuwa ajenda kuu kwakuwa ni zao la demokrasia.

Dr. Slaa: Naungana na Jaji Warioba kuwa rushwa ilikuwa inatisha. Serikali za Mitaa hupewa asilimia 23 za bajeti. Asilimia 75 ya 23 hupotea kwa rushwa. Kuna grand na petty corruption. Rushwa ndogo huumiza kuliko kubwa kwakuwa zinagusa watu wanyonge.

Dr. Slaa: Katika kampeni za mwaka huu,chama changu CHADEMA kimeacha ajenda ya rushwa. Hata nyimbo za hamasa za kupinga rushwa hazisikiki. ACT ni kama wanairithi CHADEMA kwenye ajenda ya rushwa. Nampongeza Zitto na chama chake. Yuko committed

Dr. Slaa: Msingi wa mabadiliko ni kutoka ulipo kwenda mahali kwingine. Kwenda kuzuri. Kuna dhana ya mabadiliko na mapinduzi. Kuna kauli za kutishia kuingia barabarani

Dr. Slaa: Wapo wenye tamaa ya kwenda Ikulu. Hiyo si ambition ya uongozi. Ambition inaambatana na maandalizi

Dr. Slaa: Kumchagua Rais si suala dogo. Tutavumilia kwa miaka mitano

Dr. Slaa: Amani inapaswa kuwa ajenda kuu kwakuwa ni zao la demokrasia.

Mtangazaji hata haoji na badala yake anamwacha Dr. Slaa ajiachie atakavyo. Leo kazi ipo!

Dr. Slaa: Naungana na Jaji Warioba kuwa rushwa ilikuwa inatisha. Serikali za Mitaa hupewa asilimia 23 za bajeti. Asilimia 75 ya 23 hupotea kwa rushwa. Kuna grand na petty corruption. Rushwa ndogo huumiza kuliko kubwa kwakuwa zinagusa watu wanyonge.

Dr. Slaa: Katika kampeni za mwaka huu,chama changu CHADEMA kimeacha ajenda ya rushwa. Hata nyimbo za hamasa za kupinga rushwa hazisikiki. ACT ni kama wanairithi CHADEMA kwenye ajenda ya rushwa. Nampongeza Zitto na chama chake. Yuko committed

Dr. Slaa: Dr. Magufuli anasisitiza kuwa anapiga vita rushwa. Sijaona jambo hilo kwa CHADEMA. Ukiwa mchafu huwezi kukemea. Dr. Magufuli anasema ataanzisha Mahakama Maalum za rushwa na ukimtazama anaaminika. Dr. Magufuli sijawahi kusema ni msafi. Lakini ana nafuu kati ya wagombea nane

Dr. Slaa: Tulimpinga Rais Kikwete mwaka 2010 kuwanyanyua Mramba,Chenge na Lowassa. Magufuli haogopi kupoteza kura kwa kukemea ufisadi na kusema atawafunga wala rushwa. Magufuli ni jasiri

Dr. Slaa: Kuna michakato inafanyika kama kuwaleta na malori na mabasi. Chama changu kilikuwa hakibebi watu. Lakini kilibeba kwenye mkutano wa Jangwani.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana