Bibi Hillary Clinton Mke wa Rais wa Marekani wa zamani na Waziri wa nje wa Marekani alimaliza mda wake.
Ametangaza Rasmi anagombea #2016... na amezindua Kampeni yake Jana kupitia chama cha Democratic...Rais wa Marekani Barack Obama alipulizwa jana huko Panama...Anamzungumzaje Bi Hillary Clinton....? Anajibu...... "Namfahamu Kama Mwana mama mshindani wangu 2008...
Namjua Kama Msaidizi Wangu akiwa Secretary of state (Waziri wa mashauri ya Ligeti) Na bado ni Rafiki yangu sana kisha akasema ni mwanamama amayeweza kuiendeleza Amerika...
Post a Comment