Featured

    Featured Posts

WATU SITA WAJERUHIWA KATIKA AJALI KILIMANJARO

Ajali iliyotokea eneo la mchura kilimanjaro 

AJALI mbaya imetokea mchana wa jana eneo la Uchira mkoani Kilimanjaro baada ya basi la Harambee kugongana na lori na kusababisha watu sita kujeruhiwa na wawili kati ya hao kuumia zaidi.

Mtandao huu uliongea na kamanda wa polisi wa mkoa wa kilimanjaro na kathibitisha ajali hiyo kutokea.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana