Wasanii wakiungana na waombolezaji wengine katika msiba.
Msanii wa maigizo aliye wai kuwika na Kaole sanaa Group Mwajuma Abdallah 'Mama Mashaka' amefariki dunia
Mama Mashaka amefariki usiku wa Kuamkia leo katika hospitali ya Amana iliyopo jijini Dar.
Mwajuma Abdalah Mama Mashaka enziza uhai wake
Bwana alitoa Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe
Post a Comment