Featured

    Featured Posts

BABY MADAHA NA ISABELA WANASWA WAKISAGANA TAZAMA HAPA.


Isabela Mpanda ‘Bella’ na Baby Madaha wakishikana kimahaba.
Baada ya paparazi wetu kunasa picha tukio hilo kutoka kwa sosi, aliwavutia waya wawili hao kwa nyakati tofauti ambapo walisema hawaoni tatizo katika mambo hayo waliyoyafanya.“Tulikunywa pombe zetu na hatukuwa na tatizo na mtu yeyote kuna shida gani? Hakuna vitendo vibaya tulivyofanya kwa sababu hatukugombana na tulikuwa tuko na  amani na raha zetu,” alisema Baby huku Bella naye akitoa maneno yanayofanana kabisa na hayo ya Baby.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana