Maadili yanazidi kuporomoka hapa bongo mpaka kufikia hatua madenti wanavaa wanavyojisikia ikiwemo kuvaa vigauni vifupi, na kama hiyo haitoshi siku hizi wanafunzi wa sekondari na haswa Form 2 wanapenda kuacha sehemu kubwa ya maziwa yao wazi... Fanya survey katika shule mbalimbali za mijini utaligundua hili! Ukiwa kama dada/kaka/mzazi/mlezi wafikiri nani alaumiwe katika hili sasa? Mwalimu, mzazi au jamii kwa ujumla?! Tupe jibu lako kwa comment box hapo chini...
LAANA...!!! ANGALIA JINSI MWANAFUNZI WA SEKONDARI ALIVYO VAA
![](http://img2.blogblog.com/img/icon18_edit_allbkg.gif)
Maadili yanazidi kuporomoka hapa bongo mpaka kufikia hatua madenti wanavaa wanavyojisikia ikiwemo kuvaa vigauni vifupi, na kama hiyo haitoshi siku hizi wanafunzi wa sekondari na haswa Form 2 wanapenda kuacha sehemu kubwa ya maziwa yao wazi... Fanya survey katika shule mbalimbali za mijini utaligundua hili! Ukiwa kama dada/kaka/mzazi/mlezi wafikiri nani alaumiwe katika hili sasa? Mwalimu, mzazi au jamii kwa ujumla?! Tupe jibu lako kwa comment box hapo chini...
Post a Comment