Featured

    Featured Posts

Breaking News; Prof Sospeter Muhongo ajiuzulu kisa kashfa ya Escrow taarifa kamili iko hapa.

Sospeter Muhongo amejiuzulu



Aliyekuwa Waziri wa Nishati na madini, Prof. Sospeter Muhongo ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri katika mkutano wake alioitisha leo na waandishi wa habari mapema leo, na moja ya kauli iliyoitoa kwenye mkutano juo ni kuwa yeye ni msafi hausiki katika kashfa ya Escrow. 

Akieleza hayo mapema leo pia ametoa nafasi kwa yeyeto mwenye visibitisho amehusika katika kuchota hela za Escrow awasilishe ushahidi wa makaratasi mahakamani na yuko tayari kusiamama kutetea haki yake.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana