Featured

    Featured Posts

TAMASHA LA "AFTER SCHOOL BASH"LIMEACHA HISTORIA NDANI YA ESCAPE ONE

Umati wa watu waliohudhuria Tamasha la After School Bash eneo la Escape One jana.
Mashabiki wakiwaangalia wanafunzi waliokuwa wakionesha vipaji jukwaani.
Wasanii wa Kundi la Makomandoo wakionesha makeke yao jukwaani.
Wasanii kutoka TMK Wanaume Family, Mhe .Temba na Chegge wakitumbuiza wakati wa tamasha hilo.
Msanii Rich Mavoko akikamua jukwaani.
Mashabiki wakifuatilia burudani.
Mwanamuziki Tid 'Mnyama' akicheza na shabiki jukwaani.
Mtangazaji wa Clouds FM, Shadee akiwasherehesha mashabiki.
Mashabiki walishinda kwa kufanana na wasanii wakiwa kwenye pozi na Adam Mchomvu (kushoto). Kutoka kulia ni shabiki aliyefananishwa na Ngwea na katikati ni Diamond.
TAMASHA la After School Bash lililoandaliwa na Clouds Fm limeacha historia ndani ya Escape One, Mikocheni jijini Dar jana kutokana na bururdani za aina yake zilizokuwepo.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © 2025 DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana