Umati wa watu waliohudhuria Tamasha la After School Bash eneo la Escape One jana.
Mashabiki wakiwaangalia wanafunzi waliokuwa wakionesha vipaji jukwaani.
Mashabiki wakifuatilia burudani.
TAMASHA la After School Bash lililoandaliwa na Clouds Fm limeacha historia ndani ya Escape One, Mikocheni jijini Dar jana kutokana na bururdani za aina yake zilizokuwepo.
Post a Comment