Featured

    Featured Posts

BASI LA MOHAMED TRANS LAPATA AJALI NA KUUA WATU SABA HAPO HAPO MAENEO YA IGUNGA

Wananchi wakiwa eneo la tukio kutoa msaada kwa waliojeruhiwa katika ajali hiyo.
Baadhi ya maiti zikiwazimelazwa chini.

Picha zote zikionyesha mandhari ya sehemu ajali hiyo                                            ilipotokea.
Watu saba wamefariki Igunga, mkoani  Tabora, ambapo wengi wamejeruhiwa baada ya basi la Mohammed Trans  lililokuwa likitoka Mwanza kuelekea Dar es Salaam, kukatika 'steeering power' likaacha njia na kupinduka. 
   Basi hilo limepinduka leo majira ya saa nane mchana, ambapo maiti na majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana