Featured

    Featured Posts

HATIMAE DR.SLAA ATAWAZWA KUIWAKILISHA UKAWA KATIKA MBIO ZA URAISI 2015


katika kikao kinachofanyika mjini dar es salaam katika ukumbi wa colloseum uliopo wilaya ya kinondoni... zimepenyezwa habari kuwa UKAWA wamempitisha Dr.Slaa kugombea Uraisi 2015 kupitia UKAWA. tetesi hizo zinaeleza kwamba sasa hivi wanamalizia taratibu chache na makubaliano mbalimbali kabla ya kufunga kikao na kutoka kutangaza rasmi.
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana