Mwizi maarufu alifahamika kwa jina la babuu pichani akiwa amewekwa chini ya ulinzi na raia wenye hasira kali.
Babuu pichani akitoa maelezo baada ya kupewa kichapo na raia kwa madai ya kuiba laptop aina ya Apple.
Mwizi huyo akiwa nje ya chumba alichofanyia uhalifu na kuonyesha baadhi ya vifaa alivyoiba.
Raia wakimhoji babuu baada ya kumkamata na laptop.
Mwizi huyo akiendelea kupokea kichapo
Author Name
Author Description!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment