Featured

    Featured Posts

BREAKING NEWS: ASKOFU GWAJIMA AKAMATWA NA POLISI.. soma zaidi hapa.

 ..Habari tulizozipata ni kuwa Jana Gwajima Alitakiwa aripoti Polisi na Kupeleka Hati za Mali alizo agizwa lakini hakufanya hivyo .
Hata hivyo muda huu  taarifa zilizotufikia ni kwamba  Mpaka sasa Gwajima ameshakamatwa na apo awali alikuwa  amejifungia Ndani na Polisi walishindwa kuingia Ndani Kwa ajili ya Kumkamata  lakini ni kwamba wameshamkamata.
Na kwa sasa Askofu Josephat Gwajima amefikiishwa mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana