Featured

    Featured Posts

KIBAKA ALA KICHAPO KWA WIZI WA TAA ZA GARI UPANGA, DAR

Kibaka aliyetaka kuiba taa za gari akiwa amefungwa kamba sambamba na vifaa vyake vya uhalifu.
Taa ya gari ambayo tayari ilikuwa imefunguliwa na kibaka huyo.

Kibaka huyo akiwa chini ya ulinzi.

KIJANA mmoja anayedaiwa kuwa kibaka ambaye hakufahamika jina lake mara moja jana amepokea kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kudaiwa kutaka kupora taa za gari la mwananchi mmoja maeneo ya Upanga jijini Dar es Salaam jana.

author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana