Muonekano wa nyumba baada ya kibatari kulipuka na kupelekea watoto wawili wa familia moja kufaliki dunia wakiwa ndani ya nyumba hiyo leo kijiji cha Mbela Wilayani, Misungwi mkoa wa Mwanza.
![](http://api.ning.com/files/eHhH0wF8G5DC8YF9hi-h3PuO16MdTlKKMUOvRB3GSaLkhq9wLVM92fHaaExZ2dua67Ax21Y*U8g0aoX8POR6SHjccQ5mwm05/MOTOMWANZA6.jpg?width=750)
WATOTO wawili wa familia moja, mmoja wa kike mwenye umri wa miaka minne na mwingine wa kiume mwenye umri wa mwaka mmoja wameteketea kwa moto na mmoja kujeruhiwa leo baada ya kibatari kulipuka na kuteketeza nyumba kijiji cha Mbela wilayani Misungwi mkoa wa Mwanza.
Post a Comment