![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2014/04/ronaldo-rooney_2480712b.jpg)
Mabigwa wa ulaya klabu Real Madrid ya Hispania imeendelea kuwa kuwa timu tajiri Zaidi duniani
Manchester United wanashika nafasi ya pili katika listi hii wakipanda kutoka nafasi ya nne,huku mapato ya mwaka 2013/14 yakitumika kama kigezo.
Ligi England inaoneka ina utajiri zaidi kwa kufanikiwa kuwa na jumla ya timu tano katika kumi bora.
klabu ya Galatasaray ya Uturuki ndio timu pekee iliyongia katika ishirini bora ikiwa haimo kwenye timu zinazotoka kwenye ligi tano bora.
Msimamo kamili ni kama ifuatavyo kwenye mabano ni kipato cha mwaka 2012-2013
1. Real Madrid: 549.5m (518.9m)
2. Man United: 518m (423.8m)
3. Bayern Munich: 487.5m (431.2m)
4. Barcelona: 484.6m (482.6m)
5. Paris Saint Germain; 474.2m (398.8m)
6. Manchester City: 414.4m (316.2m)
7. Chelsea: 387.9m (303.4m)
8. Arsenal: 359.3m (284.3)
9. Liverpool: 305.9m (240.6m)
10. Juventus: 279.4m (272.4m)
Post a Comment