Featured

    Featured Posts

WANAFUNZI WAPYA WA UDOM WATINGA CHUONI NA MA TRANKA PAMOJA NA VIROBA VYA MCHELE NA MAHARAGE

Baadhi ya wanafunzi wapya (wageni) ambao ni Diploma walioanza kuiingia wekeend katika chuo  kikuu cha Dodoma.... Safari hii imekuwa tofauti sana na miaka ya nyuma baada ya kuvunja historia miaka ya nyuma... Kuna baadhi wamekuja wakiwa na mwonekano wa tofauti kutokana na uhalisia wa Maisha wanayoishi huko vijijini na maisha ya wanaoisha mjjini, hali hiyo ilitokea baada ya wale wanaojiita wakishua wakiwacheka wale wa vijijini na kuwakejeli kwa kuwapiga picha kwa mwonekano wao,
Baada yao walikuja wamebeba ma tranka yale yanayotumiwa sana na shule za sekondari sana sana form 1 na form 2,Ambapo kwa chuo ni tofauti kidogo, vile vile wengine walikuja wamevalia Sare za shule huku wakiwa wamechomekea mkanda njee huku wasicha wakiwa na magauni marefu, Ila funga kazi ambayo iliwaacha watu hoi mpaka mhusika mwenyewe kujisikia vibaya ni mwanafunzi mmoja aliyekuja na kiroba cha mahindi pamoja na mchele na maharage.... daaa haki ya mungu watu walivunjika mbavu, lakini point ni kwamba wate wamekuja kusoma
author

Author Name

Author Description!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Total Pageviews

Copyright © DAILY MAIL | Designed By Code Nirvana