Msanii kutoka T.M.K Wanaume Family Mh.Temba na Manager wa kundi la T.M.K,Said Fella wamesema wamejitolea kumsomesha mtoto wa msanii wa kundi la T.M.K Wanaume Family aliyefariki dunia usiku wa kuamkia majuzi,Y.P
Walipokuwa wakiongea na 255 ya kipindi cha XXL ya Cloudsfm, Wamesema watamsomesha mtoto huyo mwenye Umri wa miaka 7 kwasababu Elimu pekee ndio msingi wa Maisha pia iwapo kuna mtu yoyote ambae yupo tayari kumsaidia wapo tayari kupokea chochote,madaftari,kalamu au sare za shule. Safari ya mwisho ya Y.P iliishia siku juzi kwenye makaburi ya Chang'ombe.
Author Name
Author Description!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment