Tanzia nzito katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Agustino Cha Tabora (Archbishop Mihayo University College of Tabora-AMUCTA). Marehemu (Happiness) aliyekuwa akisomea kozi Uhusiano wa Umma na Masoko katika mwaka wa Tatu (3) amekumbwa na umauti leo hii asubuhi katika hospitali ya Mirambo-Tabora. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na Typhoid pamoja na sickel cell. Imethibitishwa na moja ya mhadhiri wa chuo hicho alipoongea na mtandao huu kwa njia ya simu.
Post a Comment